MtaawasabaMtaawasaba
  • Habari
  • Android
  • Kompyuta
  • Windows
  • Maujanja
  • StartUps
Mengineyo
  • Muongozo
  • Maujanja
  • Programu
  • Simu Janja
  • Teknolojia
Mtaawasaba
  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Mitandao
  • Facebook
  • Twitter
  • Instagram
  • YouTube
  • Newletters
© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive
Unasoma Vodacom Tanzania waja na M-Pesa visacard
MtaawasabaMtaawasaba
  • Apple
  • Maujanja
  • StartUps
  • Magari
  • Mtaawasaba
    • Habari
    • Maujanja
    • Kompyuta
    • Simu Janja
    • Magari
    • Muongozo wa mtumiaji
    • Mitandao ya kijamii
    • Programu
    • Teknolojia
    • Mfumo endeshi
    • Miwani Janja
    • Saa Janja
    • Televisheni
  • Mengineyo
    • Microsoft
    • Windows
    • SnapChat
    • TTCL
    • Tigo Tanzania
    • Google
    • halotel
    • Instagram
    • iOS
  • Kuhusu Mtaawasaba
    • Kuhusu Sisi
    • Sera ya faragha
    • Vigezo na Masharti
    • Wasiliana Nasi
Una akaunti? Ingia
Tufuate mtandaoni
© 2022 Mtaawasaba Interactive. Haki zote zimehifadhiwa.
Mtaawasaba > Habari > Vodacom Tanzania waja na M-Pesa visacard

Vodacom Tanzania waja na M-Pesa visacard

Imeandikwa na Alice Kimathi Mwaka 1 uliopita
Sambaza
Vodacom Tanzania waja na M-Pesa visacard
Vodacom Tanzania waja na M-Pesa visacard. Kama wewe ni mmoja kati ya watumiaji wa kadi za manunuzi mtandaoni kupitia mtandao wa Vodacom Tanzania basi utakuwa umepata ujumbe mfupi wa maneno ukikujulisha kuwa kuanzia sasa Vodacom wanasitisha huduma hiyo kwa kutumia kadi za Mastercard.

Vodacom Tanzania waja na M-Pesa visacard

Pia Vodacom, wametuma ujumbe unaowataka watumiaji ambao walikuwa na akiba ya fedha kwenye kadi zao za awali za mastercard wahamishe kwenda akaunti zao za m-pesa kwani huduma ya kadi za mastercard inafikia ukomo.

Unaweza Kusoma

Elon Musk ametangaza rasmi vita na Apple

Ramani, kutoka Tanzania yakusanya $32m kurahisisha mnyororo wa usambazaji

Teknolojia ya hali ya juu kutumika katika Kombe la Dunia la FIFA Qatar 2022

Tovuti ya iCloud ya Apple yapata muonekano mpya, inavutia zaidi.

Hata hivyo jambo la kufurahisha ni kuwa, Vodacom wamekuja na huduma ingine ya M-Pesa VISA Card kama mbadala wa huduma iliyofikia ukomo.

Vodacom Tanzania waja na M-Pesa visacard

M-Pesa VISA Card ni Virtual debt card (kama kadi zile za benki) inayokuruhusu  kufanya miamala mtandaoni. Tofauti yake ni kuwa yenyewe haishikiki na unaweza kuitengeneza au kuiondoa muda wowote unaohitaji. Pia mitandao mingine ya simu inayotoa huduma za kifedha kama Airtel Tanzania wana huduma kama hii.

Kama utapenda kutengeneza kadi yako mpya ya VISA Card kwa ajili ya kufanya manunuzi mtandaoni au kulipia huduma mbalimbali mtandaoni basi fuata hatua zifautazo hapa chini.

kupitia simu yako ya mkononi (janja au kitochi) nenda sehemu ya kupigia kisha;

  1. bofya *150 *00 #
  2. halafu namba 4 (Lipa kwa Mpesa)
  3. kisha namba 6 (M-Pesa VISA Card)
  4. mwisho chagua namba 1 (Tengeneza Kadi)

Baada ya hapo utapokea ujumbe mfupi wa maneno wenye maelekezo yenye namba za kadi yako, namba 3 za CVV pamoja na muda wa matumizi ya kadi husika. Kumbuka taarifa hizi ni za siri unatakiwa uzihifadhi kwa umakini kwani mtu mwingine akizipata anaweza kuzitumia kufanya miamala bila ridhaa yako.

Habari bado inaendelea kuongezewa…

Endelea kuwa nasi kupitia mitandao ya kijamii, na channel yetu ya youtube

KWENYE Mastercard, Vodacom Tanzania
Sambaza chapisho hili
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Telegram Barua Pepe Nakili kiungo Durufu
Maoni 2
  • Avatar of N.Kinyaga N.Kinyaga anasema:
    Mwaka 1 uliopita kwa 22:55

    Mpesa visa card nimeifurahia sana kwani inadumu kwa mwaka mmoja tofauti na mastercard ilikuwa ya muda mfupi sana… Pesa zangu zimefia master card Vodacom walitoa muda mfupi wa kuhamisha pesa

    Jibu
    • Avatar of Alex Alex anasema:
      Mwaka 1 uliopita kwa 22:58

      daaah, pole sana, mie nilikuwa na hela zikarudishwa moja kwa moja. em cheki nao

      Jibu

Toa Jibu Ghairi kujibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *

Mtaawasaba Newsletter

Jiunge nasi kwa njia ya barua pepe tukujulishe kila inapotoka habari mpya

Zaidi Kutoka Mtaawasaba

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Sasa unaweza pata Blue Tick kwa kulipia Instagram na Facebook

Wiki 1 iliyopita
Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Airtel yawa ya kwanza kuzindua huduma ya kadi za eSIM Tanzania

Wiki 2 zilizopita
Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Instagram yazindua Notes, Candid Stories, na Zaidi

Miezi 3 iliyopita
Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Umoja wa Ulaya waishinikiza Apple kuruhusu maduka mbadala ya programu kwenye iPhones na iPads

Miezi 3 iliyopita

© 2013 - 2023 Mtaawasaba Interactive. Crafted by Simba Creative

  • Kuhusu Sisi
  • Sera ya faragha
  • Vigezo na Masharti
  • Wasiliana Nasi
Go to mobile version
logo logo
Karibu Mtaawasaba!

Jaza taarifa kuingia Kwenye Akaunti Yako

Umesahau Nywila?